![]() |
Bunda sekondari waibuka kidedea katika kongamano la Mazingira la mwaka 2017, |
Kikundi hiki cha wanafunzi wa MALIHAI kilifanya vizuri katika kongamano hilo hasa katika maonesho na uhifadhi wa mazingira ya shule ya sekondari Bunda na kufanya kuwa washindi wa kwanza.
Wanafunzi hao walijipatia zawadi mbali mbali kama inavyoonekana pichani.Zawadi ambazo ziliwasilishwa shuleni ili kuendeleza harakati za utunzaji na uhifadhi wa mazingira ya shule.
Hata hivyo wanafunzi hao waliwashukuru sana walimu wao Madam Levenda E.K na Mwl Afti Mikingi kwa kuwapa mwongozo mzuri.
Hata hivyo wanafunzi hao waliwashukuru sana walimu wao Madam Levenda E.K na Mwl Afti Mikingi kwa kuwapa mwongozo mzuri.
No comments:
Post a Comment