BLOGU HII NI MAALUM KWA MASUALA YA TAALUMA YAHUSUYO BUNDA SEKONDARI.MAONI YENYE LUGHA ZISIZO NZURI YATAONDOLEWA.KARIBUNI KWA MAONI NA USHAURI.
"NIDHAMU NI USHINDI"
Sunday, July 14, 2019
KILA LA KHERI KIDATO CHA NNE.
Tunapenda kuungana na wazazi,walezi,ndugu,jamaa na marafiki katika kuwatakia kila la kheri wanafunzi wetu wa kidato cha nne wanaoanza leo mitihani ya Utimilifu "Mock" mkoa wa Mara.Tunaamini kwa uwezo wake Mungu Ufaulu utaongezeka.
This comment has been removed by the author.
ReplyDelete