Sunday, July 14, 2019

KILA LA KHERI KIDATO CHA NNE.

Tunapenda kuungana na wazazi,walezi,ndugu,jamaa na marafiki katika kuwatakia kila la kheri wanafunzi wetu wa kidato cha nne wanaoanza leo mitihani ya Utimilifu "Mock" mkoa wa Mara.Tunaamini kwa uwezo wake Mungu Ufaulu utaongezeka.


1 comment: